Mkurugenzi wa Uhandisi na Ujenzi (DEC)
Meja Samwel S. Jambo
Mkurugenzi Mwendeshaji (MD)
Eng. ML. Nyonyi
PROPOSED DESIGN AND CONSTRUCTION OF STUDENTS HOSTEL TO BE BUILT AT MWEKA MAIN CAMPUSNyumba za wafanyakazi wa Serikali zilizosimamiwa kujengwa kupitia Kampuni ya Ujenzi (SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY LIMITED)Utelezaji wa shughuli za ujenzi wa BarabaraUjenzi wa nyumba kwa Kutumia Teknolojia Mpya ya UBM ina yotumiwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKTCCL)Malori mapya kwa ajili ya shughuli za Kampuni ya Ujenzi (SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY LIMITED)
NAIBU MKUU WA CHUO KIKUU MZUMBE APONGEZA KAMPUNI YA UJENZI SUMAJKT(SUMAJKTCCL)
SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY LIMITED (SUMAJKT CCL)
SUMAJKT CCL ni moja ya Kampuni Tanzu za Shirika la Uzalishaji Mal la Jeshi la Kujenga Taifa.
Kampuni hii inayojishughulisha na kazi za Ujenzi hapa nchini.
Kazi zinazotekelezwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)
a. Ujenzi wa Nyumba za Makazi, maofisi na biashara.
b. Ujenzi wa barabara na madaraja.
c. Ujenzi wa Mabwawa ya maji na miundombinu ya maji.
d. Kazi zote za Umeme katika Majengo.
e. Kazi za Uhandisi wa Mitambo.
f. Kazi za Umeme mkubwa.
WEKA MAONI YAKO
Untitled Document
Jengo la Tume ya Uchaguzi (NEC)- DODOMA lililojengwa na kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT
Ujezi wa jengo la Makao Makuu ya Uhamiaji Tanzania, Jijini Dodoma ambalo limejengwa na SUMAJKT Construction Company Limited kupitia Kanda ya Kati Ujenzi iliyo na Makao Makuu Jijini Dodoma..
Makazi ya kisasa anayoishi kiongozi wa Serikali, yaliyojengwa na SUMAJKT Construction Company Limited.
Ujenzi wa nyumba za Serikali na makampuni binafsi kwa kutumia Teknolojia ya kisasa ya UBM kupitia SUMAJKT Construction Company Limited.
Untitled Document
Nyumba za Watumishi wa Umma katika Makao Makuu mapya ya Serikali Jijini Dodoma yaliyojengwa kwa ushirikiano na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Limited
Nyumba za Watumishi wa Umma katika Makao Makuu mapya ya Serikali Jijini Dodoma yaliyojengwa kwa ushirikiano na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Limited.
Makazi ya kisasa ya Watumishi wa Umma katika Makao Makuu mapya ya Serikali Jijini Dodoma yaliyojengwa kwa ushirikiano na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Limited.
Moja ya Ofisi za Makao Makuu mapya ya Serikali Jijini Dodoma zilizojengwa kwa ushirikiano na Kampuni ya SUMAJKT Construction Company Limited