SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY LTD

Mkurugenzi wa Uhandisi na Ujenzi (DEC)

Meja Samwel S. Jambo

Mkurugenzi Mwendeshaji (MD)

Eng. ML. Nyonyi

Karibu SUMAJKT Construction Company Ltd (SUMAJKT CCL)

SUMAJKT CCL ni moja ya Kampuni Tanzu za Shirika la Uzalishaji Mal la Jeshi la Kujenga Taifa. Kampuni hii inayojishughulisha na kazi za Ujenzi hapa nchini

DIRA

Kuwa Kampuni ya Umma ya Ujenzi inayoaminiwa kwa ukuaji wa Miundombinu Tanzania.

DHIMA

Kutoa Huduma na bidhaa za Ujenzi zinazokidhi viwango stahiki katika muda uliowekwa kwa kutumia Teknolojia muafaka.

TUNU

Weledi
Uadilifu
Uwazi
Uwajibikaji
Kazi pamoja

Kazi zinazotekelezwa na Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT (SUMAJKT Construction Company Limited)

Ujenzi wa Nyumba za Makazi, maofisi na biashara.

Ujenzi wa barabara na madaraja.

Ujenzi wa Mabwawa ya maji na miundombinu ya maji.

Kazi zote za Umeme katika Majengo.

Kazi za Uhandisi wa Mitambo.

Kazi za Umeme mkubwa.

Our Latest Projects

Sokoine University

Construction
|
Morogoro

ERB Annex

Construction
|
Dodoma

Mzumbe University

Construction
|
Morogoro
See All Projects

Matangazo

JKT Marathon 2023

SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY COMPANY LTDĀ© 2023 | Imewezeshwa na Kutengenezwa na SUMAJKT